Selected

Original Text
Ali Muhsin Al-Barwani

Available Translations

101 Al-Qāri`ah ٱلْقَارِعَة

< Previous   11 Āyah   The Calamity      Next >  

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
In the name of Allah, Most Gracious, Most Merciful.

101:1 ٱلْقَارِعَةُ
101:1
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Inayo gonga!

101:2 مَا ٱلْقَارِعَةُ
101:2
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Nini Inayo gonga?

101:3 وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْقَارِعَةُ
101:3
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?

101:4 يَوْمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلْفَرَاشِ ٱلْمَبْثُوثِ
101:4
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;

101:5 وَتَكُونُ ٱلْجِبَالُ كَٱلْعِهْنِ ٱلْمَنفُوشِ
101:5
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!

101:6 فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَٰزِينُهُۥ
101:6
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,

101:7 فَهُوَ فِى عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ
101:7
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.

101:8 وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَٰزِينُهُۥ
101:8
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,

101:9 فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٌ
101:9
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!

101:10 وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا هِيَهْ
101:10
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?

101:11 نَارٌ حَامِيَةٌۢ
101:11
Ali Muhsin Al-Barwani (Swahili) :
Ni Moto mkali!